Baada ya C.E.O wa Wasafi Diamond Platnumz kutangaza kuwa anatamani sana kumuona msanii mwenzake pia akiwa kama kaka yake kwenye muziki Alikiba awepo kwenye tamasha lake la Wasafi Festival ambalo linatarajiwa kuanzishwa mwezi wa 11 tarehe 24 mwaka huu ambalo linatarajiwa kuanzia mkoani Mtwara.

No comments:
Post a Comment